SHAMSA FORD. |
Shamsa Ford alisema baada ya ndoa heshima kwa mumewe anayefahamika kwa jina la Chiddy Mapenzi iliongezeka na akaanza kumuogopa, kwa sababu kabla hajaolewa alikuwa anamchukulia poa tu.
Pia Shamsa alisema kuwa wasanii wengi wa kike wa bongo hawaolewi kwa sababu wanataka mwanaume ambaye amekamilika kwa kila kitu, wakati mwanaume anatengenezwa na mwanamke mwenyewe.
Shamsa alimaliza kwa kuwataja wasanii wa bongo movie anaowakubali ni Gabo na Rihama.
No comments:
Post a Comment