Tuesday, January 17, 2017

DIAMOND NA ZARI KWENYE JARIDA KUBWA LA AFRIKA KUSINI.


Jarida kubwa na linaloongoza kwa mauzo (PREGNANCY AND BABY GUIDE MAGAZINE) la nchini Afrika ya kusini limempa shavu DIAMOND na mama watoto wake ZARI.


Jarida litatoka wiki ijayo. BIG UP CHIBU.


No comments: