Tuesday, January 17, 2017

RIHANNA AZINDUA PERFUME ZAKE.


Baada ya sandle za Fenty sasa mwanadada machachari kabisa RIHANNA amekuja na perfume inayokwenda kwa jina la KISS BY RIHANNA.

Rihanna kila mwaka anakuja na bidhaa mpya kabisa ambayo inawashangaza walimwengu.

No comments: