![]() |
SOULJA BOY NA CHRIS BROWN. |
Chris alitaka kutoa nyimbo siku ya leo lakini amehairisha kwa sababu leo ni kumbukumbu ya MARTIN LUTHER KING na kuamua kuwa mpole siku ya leo.
Unafikiri Chris atatoa nyimbo ya kumjibu Soulja au ataachana na bifu hilo na kuendelea na maisha yake? Drop your comment hapa.
No comments:
Post a Comment