Tuesday, January 17, 2017

SOULJA BOY ATOA WIMBO WA KUMTISHIA CHRIS BROWN.

Image result for CHRIS BROWN AND SOULJA BOY
SOULJA BOY NA CHRIS BROWN.
Siku ya jana SOULJA BOY alitoa nyimbo yake mpya inayoitwa ''STOP PLAYING WITH ME'' wimbo ambao ulikuwa ni dongo kwa CHRIS BROWN na Chris alipaniki na kuja juu huku akiukandia wimbo huo na kumwambia Soulja boy aache kuimba kama ndo nyimbo zenyewe ndo hizo.

Chris alitaka kutoa nyimbo siku ya leo lakini amehairisha kwa sababu leo ni kumbukumbu ya MARTIN LUTHER KING na kuamua kuwa mpole siku ya leo.

Unafikiri Chris atatoa nyimbo ya kumjibu Soulja au ataachana na bifu hilo na kuendelea na maisha yake? Drop your comment hapa.

No comments: