DIAMOND PLATNUMZ: NAISAPOTI UGANDA KWENYE MASHINDANO YA AFCON KWASABABU NI MASHEMEJI ZANGU KWA ZARI.
 |
DIAMOND & ZARI. |
Msanii wa kizazi kipya anayejiita ''SIMBA'' yani DIAMOND PLATNUMZ, jana usiku alifunguka wakati anahojiwa kwenye kipindi cha SPORTS XTRA cha CLOUDS FM.
Diamond alisema anaisapoti Uganda kwa sababu wanaiwakilisha East Africa kwenye michuano hiyo na sababu nyingine ni mashemeji zake kwa ZARI.
Uganda leo usiku wanatupa karata yao ya kwanza kwenye michuano hiyo, wanakipiga vs Ghana majira ya saa 1 usiku kwa saa za Afrika mashariki.
No comments:
Post a Comment