Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa IDRIS SULTAN mshindi wa Big brother Africa mwanadada SAMANTHA ame-post kwenye akaunti yake ya instagram picha ya maua aliyopewa na Idris.
Wadau wanadai kuwa hizo ni kiki za Idris lakini zimebuma.
Tazama hiyo picha hapo juu.
Wewe unadhani kweli ni kiki au maneno tu ya mashabiki? Drop comment yako hapa.
No comments:
Post a Comment