Wednesday, January 18, 2017

NAY WA MITEGO: SIJAWAHI KUSIKIA WIMBO MBAYA KULIKO NYIMBO MBAYA NILIZOSIKIA MWAKA HUU KAMA HII.

Siku ya jana Madee (rais wa manzese) na Roma Mkatoriki walitambulisha nyimbo zao kwenye vyombo vya habari na baadae Nay wa mitego alipost huo ujumbe hapo juu kwenye akaunti yake ya instagram bila kumtaja msanii yoyote.

Lakini mashabiki walikomenti kuwa alikuwa anamrenga Madee kuwa ndiye aliyetoa nyimbo mbaya na sio Roma. 

Kwenye mahujiano na kituo cha radio hapa nchini Nay slipopigiwa simu alikataa kuwa hajamrenga Madee ila watu ndio wanasema na sio yeye.

Madee naye alipoulizwa alisema kuwa ameona lakini hawezi kusema kitu kwa sababu hakumtaja mwanamziki huyo au wimbo huo.

Unadhani alichofanya Nay ni sahihi hata kama alikuwa hamrengi Madee? Drop comment yako hapa.

No comments: