Kufuatia uvumi ulioko Kitaa kwamba Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Mh Ridhiwani Kikwete anahusika kumsimamia kazi za Msanii BELLE 9.
Leo kwenye XXL255 ya CLOUDS FM Mh Ridhiwani amefunguka na kusema hivi; Hakuna ukweli wowote mimi kuhusika na kusimamia kazi za Belle 9 nilivutiwa na kazi zake tu.
No comments:
Post a Comment