Wednesday, January 18, 2017

MWANA FA: BILNASS HAKUNIOMBA COLLABO NILIMFANYIA SURPRISE.


Mwana FA amefunguka leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds Fm wakati wanatambulisha nyimbo mpya aliyoshirikishwa na Bilnass unaoitwa MAZOEA.

Mwana FA alisema ''sikuombwa collabo na Bilnass lakini niliusikiliza wimbo na kwenda kuingiza vocal bila yeye kujua kwa sababu tulikuwa na mipango ya kufanya kolabo, kwahiyo ilikuwa ni surprise kwake kwa sababu mimi na yeye ni marafiki''.

Nenda kwenye link ya Bilnass kusikiliza nyimbo hiyo.

No comments: