MKE WA LEMA AFIKISHWA MAHAKAMANI.

Mke wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema, amefikishwa mahakamani leo kwa tuhuma za kumtusi Mkuu wa Mkoa kwa kumtumia ujumbe wa simu wenye neno ‘shoga’. Mke wa Mbunge huyo amekana kumtusi Mkuu huyo wa Mkoa, amedai neno ‘shoga’ sio tusi bali ni neno ambalo hulitumia kuwaita marafiki zake.
No comments:
Post a Comment