Wednesday, November 2, 2016

ONYESHO LA PICHA MWAKA HUU MJINI LAGOS, NIGERIA LIMEWALETA PAMOJA WAPIGA PICHA WA AFRIKA KUANGAZIA UZURI WA AFRIKA.


"Royal Generation" inaonyesha mavazi ya kitamaduni picha yake raia wa Angola KeyezuaImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionKeyezua ameangazia mitindo ya nchi yake Angola maarufu kama "Royal Generation" kwenye picha hii ambapo mwanamke mwenye mavazi yaliyoshonwa kitamaduni .
Picha hii kwa jina Asylum yake Eric Gyamfi kutoka Ghana inamuonyesha mwanmme akiwa na makasi huku akimsongelea mvulana aliyeko ndani ya nyunguImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionMpiga picha wa Ghana Eric Gyamfi ametoa taswira ya jinsia ya kiume Afrika ikilinganishwa na dini na utamaduni
Mpiga picha wa Nigeria Lakin Ogunbanwo anaonyesha mwanammke na mwanamme walivalia mavazi ya kitamaduni lakini mtandio na kofia za kisasa.Image copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionMpiga picha wa Nigeria Lakin Ogunbanwo amejumulisha utamaduni na kisasa katika mavazi.
Picha ya Tsoku Maela wa Nigeria ina mume aliyejeruhiwa uso mzima na mwanamke chongo, hata hivyo wote maharusi wa kupendeza.Image copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionTsouku Maela mpiga picha wa Afrika Kusini anaonyesha mapenzi halisi hayangazii kasoro , lakini kusahihisha.
Bibi Kizee aliyevalia tai ya utajiri, koti na sigareti kando mwa ndege binafsi. Picha yake Osborne MachariaImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionMpiga Picha wa Kenya Osborne Macharia anaangazia taswira ya bi kizee mwenye raha maarufu kama Nyanye
Picha ya bibi yake Ishola Akpo kutoka BeninImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionIshola Akpo kutoka Benin ana picha ya bibi yake inayoangazia umuhimu wa mahari katika utawaduni wa Afrika.
Picha yake Kudzanai wa Zimabwe inaangazia nyakati za ukoloni. Afisa wa kizungu anamsomea kitabu mwanamke wa Kiafrika aliyeketi kusikiliza kando yake meza na birika ya chai.Image copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionPicha hii inajulikana kama Gensis yake mpiga picha wa Zimbabwe Kudzanai Chiurai, Anaangazia mazingira ya ukoloni nchini humo.
Mabaki ya meli eneo la MedusaImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionPicha yake Adad Hannah inaonyesha mabaki ya Medusa, hii ni meli ya wakoloni iliozama mwambao wa Senegal miaka 200 iliyopita.
Picha hii inaonyesha watoto wakitembea kupitia milimali kutafuta hifadhi. Picha ya riwaya ya waoto yake Patrick WillocqImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionPicha ya uhalisia wa maisha yake Patrick Willocq, aliwahi kuishi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Anaonyesha maisha ya watoto wakimbizi .
Picha ya mwanamme kwenye runinga iliyotupwa juu ya jaa la taka Msumbiji. Picha imetolewa na Mario MacilauImage copyrightLAGOS PHOTO FESTIVAL
Image captionMpiga picha wa Msumbiji Mario Macilau anaangazia hatari ya kutupa ovyo vifaa vya elektroniki .

No comments: